SIMULIZI YA MAPENZI UPOFU 01
SIMULIZI YA MAPENZI UPOFU 01 Duniani kuna kila aina ya starehe na pia duniani kuna kila aina ya upendo lakini pia kuna kila aina ya maumivu lakini siku zoote wahenga walisema kuwa uyaone nahawakumanisha uyaone majengo ama magari ya kifahari bali walimanisha undani wa kibinadam na maisha yao kwa ujumlaujumlaujumla.Siku moja nilikuwa kijiweni tukipiga story nawenzangu lakini tukiwa tunaendelea kupiga story gafla alitokea binti kigori na bindi yule alikuwa ni mlembo asiye na mfano lakini cha kushangaza binti yule alikuwa akinitazama mimi peke yangu angari tulikuwa kama wanaume sita ila macho yakuvutia na yenye bashasha na yakulegea yalikuwa yakinitazama mimi kila nikijaribu kutazama pembeni ila nikinua macho yangu yanagongana na macho yayule binti cha ajabu binti yule au msichana yule aliyekuwa amevalia sketi ndefu na mwenye nywere ndefu na mwenye shape yake misri ya vikatuni vya masudi alikuwa akielekea ama ktufata mahali tulipokuwa tumeketi cha ajabu yule binti anakalibia nilisikia mwi...